Nafasi ya Kiswahili katika ujenzi wa jamii mpya ya Afrika Mashariki

Lugha ni chombo muhimu sana cha mawasiliano kilichoundwa na sauti za nasibu za kusemwa na kutumiwa na jamii ya utamaduni fulani. Jinsi ambavyo zipo jamii nyingi za tamaduni mbalimbali duniani, vivyo hivyo ziko lugha mbalimbali zilizoundwa kukidhi haja ya mawasiliano ya tamaduni mbalimbali.

Bibliographic Details
Main Author: John G. Kiango
Format: Article
Language:English
Published: Nordic Africa Research Network 2003-03-01
Series:Nordic Journal of African Studies
Online Access:https://www.njas.fi/njas/article/view/354