Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini

Tukichunguza hazina ya uhakiki uliofanywa katika taaluma ya fasihi ya Kiswahili na kuiweka katika mizani, upande mmoja ubebe tahakiki zilizozingatia maudhui na mwingine zile zilizoangaza fani, upande wa maudhui utalemewa na uzito na kuanguka. Ni kweli kuwa umuhimu wa fasihi katika jamii unatokana n...

Full description

Bibliographic Details
Main Author: E. S. Mohochi
Format: Article
Language:English
Published: Nordic Africa Research Network 2000-09-01
Series:Nordic Journal of African Studies
Online Access:https://www.njas.fi/njas/article/view/620